Ukabila na Makabila Tanzania

UKABILA NA MAKABILA TANZANIA 


Kabla ya Ukoloni watu wa Afrika tulikua tunaishi Kwa amani bila migogoro ya kikabila,lakini mzungu alivyoingia Afrika alitugawa Kwa misingi ya kikabila na kikanda na Kidini.


Lakini mwalimu Julius Kambarage Nyerere Rais wa kwanza wa Tanganyika kwakua alikuwa amesoma alifahamu athari za Makabila na ukabila, hivyo alijaribu kukataza na kufuta Makabila na ukabila.

Hata hivyo baada ya Nyerere kufariki, wazungu walikuja Tena Tanzania na kujaribu kufufua Makabila ambayo kimsingi hugawa na kusabisha migogoro.

Wazungu hufurahi wanapoona mwafrika ametumbukia katika migogoro ya kikabila.




Hivyo waafrika Asilia tunatakiwa tuondoe ukabila na Makabila ilintuishi Kwa amani.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Waislamu hupiga kelele msikitini kila baada ya saa kadhaa

HISTORIA YA TANZANIA

TANGANYIKA IKO KWENYE VITA DHIDI YA NCHI TATU(ZANZIBAR, ZAMBIA NA MALAWI)