Waislamu wana misukule wengi sana Soma zaidi.....

WAISLAMU SEHEMU 01
MTU ANENAYE(Aliyewekewa Majini au Mapepo)
Waislamu huwa na Majini ambayo huweza kuwekewa mtu na kunena Jambo lolote mfano mtu huweza kukubali kitu Kwa Maandishi au mdomo bila ridhaa yake, ambapo huja kulikana baadae kwani Baada ya tukio mtu huyo huanza kujuta,unaweza kujiona wewe ni wa dhehebu jingine,lakini kama unatatizo kama hili basi na wewe upo kwenye kundi hili la waislamu,

Unaweza ukawa kwenye kundi la waislamu kwa kujua au kutokujua. mfano unapomtafuta mganga shekhe kwaajili ya matatizo yako, shekhe huyo atayaomba hayo Majini yake yakusaidie Kwa kupiga ramli, ramli hiyo huelekeza majini hayo kukuingia na kukufanya uwe mwislamu.au ukioa mwanamke mwislamu kama mwanamke huyo asipobadili mwelekeo huo na wewe unakuwa sehemu ya Waislamu.

Majini hawawezi kuwadhuru watu wa uarabuni Kwa sababu,majini hawa ni sehemu ya utamaduni wao, ila wewe mtanzania yatakudhuru kwa sababu wewe sio mwarabu.hata mashekhe wa kitanzania maisha yao ni mafupi sana, Shekhe akiishi Miaka mingi ni Miaka mitano au kumi. Mwislamu ambaye sio shekhe pia Miaka yake ya duniani ni michache sana. waarabu huja na Majini hawa kutoka uarabuni na kuwaletea mashekhe,maimamu na maostadhi.

KIINI MACHO/MAZINGAOMBWE
Chanzo cha kiini macho au mazingaombwe ni uislamu, ambapo Majini hutumika kutekeleza kazi hii, misukule,uganga na uchawi ni matokeo ya kiini macho, pia Kuna Majini mahususi yanayotumika Kwa kazi hii,hivyo basi kama wewe unafugia misukule au una Uchawi au Uganga basi na wewe ni mwislamu au upo katika kundi la waislamu.majini Hawa huletwa na waarabu na kukabidhiwa mashekhe,maimamu,na maostadhi.

MSUKULE
Msukule ni binadamu aliyefichwa na kupelekea kutokuonekana kwa macho ya kawaida. Majini hufanya kazi ya kiini macho Kwa kusababisha tukio lolote Kwa mtu aliyekusudiwa kufanywa msukule, mfano mtu huyo anaweza kuumwa sana na kufariki, au anaweza kuanguka ghafla au kupata ajali fulani na kufariki,macho yako yataona kuwa mtu huyo amefariki, na mtafanya shughuli za mazishi na kumzika, lakini kwa uhalisia mtu huyo amefanyiwa kiini macho ili kukufanya uamini kuwa mtu huyo amekufa, lakini anakuwa yupo hai na yeye anaweza akawa anakuona lakini wewe huwezi kumwona, pia mtu huyu aliyefanywa msukule huweza kurudishwa na akaishi na kuonekana tena.kama ulishawahi kuona michezo ya mazingaombwe ndivyo inavyofanyika, yani macho yako yatakuonesha kama amekufa Lakini anakuwa hajafa.


KAZI ZA MISUKULE
1.Kuiba
2.Kuua
3.Kuficha
4.Kulinda nk
Kazi hizi wanazifanya Kwa ufanisi mkubwa Kwa sababu hawaonekani.

Sasa wewe ukiwa mwislamu siku moja utakuwa msukule,watu wataona umekufa na kuzikwa kumbe upo hai.Acha uislamu ni bora kutofungamana na dini yoyote kuliko kuwa au kuendelea kuwa mwislamu.kuna dini ambazo zinahubiri uislamu dini hizo ni Pentekoste, Lutheran (K.K.K.T), Morovian,Waadvestista Wasabato na dini zote za kilokole ni waislamu kwani hufanya miujiza ya kiini macho Kwa kutumia Majini ya kiislamu japo wanajiita Wakristo hakika ni Wakristo kweli Kwa sababu hata huyo kristo yesu alikuwa mwislamu kwani alikuwa mtu wa mazingaombwe (miujiza) Mfano wa mazingaombwe aliyoyafanya kristo yesu ni kumponya kipofu, pia upofu huu ulikuwa wa kiinimacho,kufufua misukule nk.kristo yesu alitokea palestina ambapo ndipo uislamu ulipoanzia.

MAJINI/MAPEPO
Ni viumbe ambao waislamu huamini wanasaidia,viumbe hawa asili yake ni uarabuni,waarabu walileta majini hawa tanzania na kuwawekea watu,Majini au mapepo huishi kwenye kitu chochote chenye uhai, mfano mti,mnyama au mwanadamu pia husemekana huweza kuzaliana pia.


SHETANI
Asili ya neno shetani pia ni huko uarabuni, waislamu wana shetani ambaye ndiye mzazi wa majini au mapepo.yani majini wakizaa wanakuwa shetani. ni kama vile Binti anapokuwa mkubwa na kuzaa na kuitwa Mama. hivyo basi Majini au Mapepo ni watoto wa Shetani.

UCHAWI
Uchawi pia umetokea uarabuni,waislamu hufanya kiinimacho ambacho ndio uchawi wenyewe. uchawi hufanywa kwa kutumia Mapepo au Majini.




MAKALA inaendelea kupanuliwa Fuatilia zaidi
Tuandikie kupitia email hii vaserikilimanjaro@gmail.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Waislamu hupiga kelele msikitini kila baada ya saa kadhaa

HISTORIA YA TANZANIA

TANGANYIKA IKO KWENYE VITA DHIDI YA NCHI TATU(ZANZIBAR, ZAMBIA NA MALAWI)