Tanzania
IJUE HISTORIA YA WATANZANIA KATIKA DINI NA ISHU YA MKATABA WA BANDARI
Asilimia 90 ya watanzania bara hawahitaji dini wala hawataki kujihusisha nazo.
Asilimia 90 ya watanzania wanatumia Mila na desturi za Makabila ya Tanzania,katika kumwomba Mungu na Mungu wa kutoka katika Mila na desturi za Makabila ya tanzania anawasaidia,ila unaweza kushangaa mbona kila mtu anajitambulisha kwa dini yake.
Watanzania wamelazimishwa kuingia katika dini hizo Kwa namna Moja hadi nyingine. pia wengine huenda huko makanisani na misikiti ili kukutana na watu na kubadilishana mawazo ikiwemo kupata msaada kwa wenzao watanzania,kwani kuhudhuria huko kunawakusanya pamoja pia kunawafanya wawe karibu na kusaidiana. sio kwamba ni wakristu,wakristo au waislamu.Tembelea Tanzania yote utagundua. pia Kuna wengine wasiokwenda kabisa kanisani Wala misikitini.
Hiyo asilimia kumi wenye dini hizo ni walowezi wa kigeni. yani ni raia wa kigeni walizalia watoto wao Tanzania, hivyo hao watoto wamekuwa Raia wa Tanzania Kiotomatiki, Kwa sababu katiba ya Tanzania inasema, ili uwe raia wa nchi ya Tanzania kwanza Sharti uwe umezaliwa Tanzania. hivyo hii ndio inabeba asilimia kumi ya hao watu wenye dini zao, suala hili la mkataba wa Bandari limeingia itikadi za kidini. na wamefanya hivyo kwa makusudi kwa sababu wameona rais wa Tanzania ana vaa hijabu(Vazi la KIISLAMU)kwahiyo ni Mwislamu ndio maana wamarekani wameamua kutumia mwamvuli wa Falme za Kiarabu Dubai(UAE) ili kutuibia chanzo chetu cha mapato tunachokitegemea cha Bandari.
Hawa watanzania unao waona sasa wana dini wamelazimishwa kwa namna moja hadi nyingine,dini imeleta ukoloni na unyonyaji wa rasilimali zetu watanzania, wazungu walikuja Tanzania na kueneza dini hizo ili kutufanya wajinga na kuiba rasilimali zetu.Sasa wamekuja tena wanataka kutuibia bandari yetu kwamwamvuli huohuo wa dini.kwa sababu wanajua kuwa Dubai(Falme za Kiarabu)ni waislamu kwahiyo itakuwa rahisi kumshawishi Raisi wa Sasa ambaye anavaa hijabu(Vazi la waislamu) kuwa ataogopa na kubaki kuwapa rasilimali hizo. Kama wanaona tunafaidi kupitia dini zao ni Bora wachukue dini zao warudi nazo Ulaya na huko Uarabuni sisi tubaki na bandari yetu, maana wameona labda tumefaidi sana kupitia dini hizo. kwanza hakuna faida inayotokana na dini kwani Kila mara ni kutoa sadaka, Sasa ikiwa sadaka ni fungu fulani kwenye kitu kizima iweje wanataka kuchukua yote, yani Bandari yetu tunayoitegemea kiuchumi.
Kuchukua bandari ni kuchukua uchumi wote wa Tanzania na kimsingi haipo katika miongozo ya sadaka. Kwa sababu huwezi kwenda msikitini au kanisani ukatoa Fedha yako yote kama sadaka.
Yani umefanya kazi umepata elfu kumi alafu unatoa elfu kumi yote utakula nini, Sasa wasutumie kigezo cha sadaka kuchukua uchumi wetu. sisi watanzania tunaijua sadaka na misingi yake licha ya kwamba dini hizi tumeletewa.Sasa iweje watake tutoe Bandari yetu sadaka, Bandari ndio uchumi wa nchi Sasa inakuwaje kutaka uchumi wote kama sadaka.hii ni kinyume na huyo Mungu wao na hakika atawalipa mara usiyohesabika, Kwenda kinyume na Mungu wako ni dhambi kubwa. Sasa Kama wameona tunamwabudu Mungu wao wamchukue na sisi tubaki na Mungu wetu wa kitanzania.
Ni mambo yasiyoelezeka na yasiyowezekana kutoa sadaka mali yako yote, pia haiwezi kukubalika,
Nyinyi waarabu,waislamu(DUBAI),Wakristo,na wakristu(MAREKANI)Chukueni dini zenu tuachieni Bandari yetu.
In English
KNOW THE HISTORY OF TANZANIANS IN RELIGION AND THE ISSUE OF THE PORT AGREEMENT DP WORD IN TANZANIA
90% of mainland Tanzanians do not need religion and they do not want to be involved in it.
90% of Tanzanians use the traditions and customs of the Tanzanian tribes, in praying to God and the God from the traditions and customs of the Tanzanian tribes helps them, but you may wonder why everyone identifies themselves with their religion.
Tanzanians have been forced into those religions in one form or another. some also go to churches and mosques to meet people and exchange ideas, including getting help for their fellow Tanzanians, because attending there brings them together and makes them closer and help each other. it's not that they are Christians, Christians roman or Muslims. Visit all of Tanzania and you will find out. There are also others who do not go to church or mosques at all.
That ten percent of those religions are foreign settlers. that is, they are foreign citizens who gave birth to their children in Tanzania, so those children have automatically become Tanzanian citizens, because the constitution of Tanzania says, in order to become a citizen of the country of Tanzania, you must first be born in Tanzania. so this is what carries ten percent of those people with their own religion, this issue of the Port agreement has entered religious ideologies. and they have done it on purpose because they have seen that the president of Tanzania is wearing a hijab (Islamic dress) so he is a Muslim that is why the Americans have decided to use the umbrella of the United Arab Emirates Dubai (UAE) to steal our source of income that we depend on the Port.
These Tanzanians you see now have religion, they have been forced in one way to another, religion has brought colonialism and the exploitation of our Tanzanian resources, the Europeans came to Tanzania and spread those religions to make us stupid and steal our resources. Now they have come again they want to steal our port under the same umbrella of religion .because they know that Dubai (United Arab Emirates) are Muslims, so it will be easy to convince the current President who wears a hijab (Islamic dress) that he will be afraid and continue to give them those resources. If they see that we are benefiting through their religion, it is better that they take their religion back to Europe and in Arabia and leave us Tanzania's we remain with our port, because they have seen that perhaps we have benefited a lot through those religions. First of all, there is no benefit from religion because it is always giving alms.
To take the port is to take the entire economy of Tanzania and basically it is not in the charity guidelines. Because you cannot go to the mosque or church and give all your money as alms.
That is, you have worked, you have earned ten thousand and then you give all ten thousand, what will you eat? Now, let them use the criterion of charity to take our economy. we Tanzanians know the sacrifice and its foundations despite the fact that these religions have been brought to us. Now what if they want us to give our port as a sacrifice, the port is the country's economy. Now how is it that they want the whole economy as a sacrifice. This is against their God and he will surely repay them countless times, Going against and your God is a great sin. Now if they have seen that we worship theirs God, they should take him and we will remain with our Tanzanian God and port.
It is unspeakable and impossible to sacrifice all your wealth, it is also unacceptable,
Muslims Arabs (DUBAI), Christians, and Christians roman (United States of America USA) Take our religions and leave our Port.
Maoni
Chapisha Maoni