Freemasons na illuminati ni ukristo na Uislamu Soma zaidi.........

 Freemasons na illuminati ni jumuiya ya kidini hasa ya kikristo na kiislamu katika umoja wa ulaya. jumuiya hii ya Freemason ilianzishwa na maaskofu wa kizungu kwa lengo la kuunganisha dunia katika maswala ya kiimani hasa walihitaji kuibadilisha Dunia, na walitaka watu wa Dunia nzima wawe na imani moja, jambo lililoshindikana, walianza na uislamu, baadae wakaona waislamu wanayaamini hayo wanayoyaamini(wanayo), hivyo wakahitaji nguvu zaidi kutoka imani za kiislamu, kuanzia wakati huo freemasons ikaanza kuogopwa. ila muhimu zaidi kujua ni kwamba jumuiya za freemasons na illuminati zinaamini zaidi majini, mapepo na mashetani kama wanavyoamini waislamu.pia katika ibada zao hutumia majini na mapepo katika kazi zao mbalimbali.

Hivyo freemasons na illuminati ni jumuiya za kiislamu pia.


Freemasons na illuminati ni makao makuu ya umoja wa ulaya katika imani za kutishia watu zaidi. hivyo kutokana na machapisho yao ya kutishatisha na ibada zao za majini, zimewafanya watu wengi kuiogopa jumuiya hii ya kikristo ya umoja wa ulaya. kama uliwahi kuona ibada za kikristo au uislamu zinazohusisha watu kuombewa kisha kuzimia, pia kunena kwa lugha zisizo eleweka basi hata huko freemason na illuminati mambo haya ni ya kawaida sana. kuombewa na kuzimia kunahusisha moja kwa moja na jumuiya za freemason na illuminati kwani misukule hutumika kumpiga mhusika kichwani kisha mtu huyo kuzimia. au unawekewa kiinimacho unaoneana umezimia ili hali wewe unajiona upo katika hali ya kawaida mambo haya mawili yanaweza kutumika.



Ukijiunga na jumuiya hizi za freemason na illuminati maisha yako yatakuwa mafupi sana, kwani ibada zinazofanyika katika jumuiya hizi ni ibada za majini, mapepo na ibada za mashetani. na mara nyingi wanaojiunga freemasons na illuminati hutolewa kafara na majini na kugeuzwa misukule.ndugu zako wataona umekufa lakini kiuhalisia unakuwa hujafa bali upo hai na unaendelea kuteseka.ukishageuzwa msukule utaendelea kuitumikia jumuiya ya freemasons na illuminati katika mambo ya kishirikiana maisha yako yote,mara nyingi misukule hawa hufanya kazi mbalimbali za kuua,kuiba kuficha kwa kutumia majini na mapepo.



Mara nyingi watu huandika machapisho ya uongo au ya kuficha ukweli kuhusu freemasons na illuminati na watu wengi wamekuwa wakiziogopa sana jumuiya hizi, kiufupi freemasons na illuminati hawana tofauti sana na waislamu au Imani za kiislamu.


Hivyo kama unaujua uislamu basi hata jumuiya za freemasons na illuminati ni kama unazijua tu.



Katika falsafa za kidini za kigeni za uislamu na ukristo mtu unapoogopa basi ni rahisi sana kumwamini shetani. na hii ndio mbinu inayotumika na jumuiya za freemasons na illuminati. freemasons na illuminati hutumia mazingaombwe au kiinimacho ili kutisha watu, ila kimsingi hawawezi kukufanyachochote ni mazingaombwe tu, pia unaweza kwenda kuwavuruga kama unajiamini na upo vizuri, unaenda kama vile mtu unataka kujiunga nao alafu ukishaingia unavuruga na kuwafanya warudi kwao ulaya hii pia ni mbinu ya kuifuta jumuiya hii hapa Tanzania.



Mara nyingi freemasons husema kuwa wanatunza siri ila kiukweli hakuna siri yoyote ndani ya freemasoni ni upuuzi tu ndani yake, ukijiunga huko utakutana na maaskofu wa dini za kikristo na viongozi wa dini za kiislamu.



Kwa kifupi unaweza kusema kuwa freemasons na illuminati ni umoja wa ulaya. na lengo lao ni kutishia watu hakuna jingine.


Mara nyingi katika Tanzania majengo ya freemasons na illuminati yapo kwenye miji mikubwa au miji mashuhuri, lengo lao ni kutishia,kuficha, kuiba na kuua, hivyo ni vyema taasisi hii ikaangaliwa upya katiba zao na kama zinavitisho Serikali ihakikishe jumuiya ya freemasons na illuminati inafutwa haraka sana Tanzania,kwani nchi ya Tanzania ni nchi ya amani na wananchi wake hawapendi vitisho.



Picha ni jengo la Freemasons na illuminati posta jijini Dar es salaam 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Waislamu hupiga kelele msikitini kila baada ya saa kadhaa

HISTORIA YA TANZANIA

TANGANYIKA IKO KWENYE VITA DHIDI YA NCHI TATU(ZANZIBAR, ZAMBIA NA MALAWI)