Watanzania sio wakristo wala sio waislamu Soma zaidi........
IJUE HISTORIA YA WATANZANIA KATIKA DINI
Asilimia 90 ya watanzania bara hawahitaji dini wala hawataki kujihusisha nazo.
Asilimia 90 ya watanzania wanatumia mila na desturi za makabila ya Tanzania,katika kuiomba mizimu ya makabila ya Tanzania na mizimu hiyo kutoka katika mila na desturi za makabila ya tanzania inawasaidia,ila unaweza kushangaa mbona kila mtu anajitambulisha kwa dini yake.
Endelea kusoma utaelewa zaidi.
Watanzania wamelazimishwa kuingia katika dini za kigeni kwa namna moja hadi nyingine.
Pia wengine huenda huko makanisani na misikiti ili kukutana na watu na kubadilishana mawazo ikiwemo kupata msaada kwa wenzao watanzania.
Kwani kuhudhuria huko katika nyumba za ibada kunawakusanya pamoja pia kunawafanya wawe karibu na kusaidiana,sio kwamba ni wakristu,wakristo au waislamu.
Tembelea Tanzania yote utagundua, pia kuna wengine wasiokwenda kabisa kanisani wala misikitini.
Pia kuna watanzania wamelazimishishwa kuingia katika dini za kigeni.,
Hasa viongozi wa dini wamekuwa walitumika kuwalazimisha watanzania kuingia katika dini za kigeni kwa kutoa vitisho na kutangaza katika nyumba za ibada kuwa yeyote ambaye haendi misikiti au kanisani ni mchawi,jambo linalowalazimu baadhi ya watanzania kuingia katika dini za kigeni kwa lazima.
Itambulike kuwa katiba ya Tanzania inatoa uhuru wa kuabudu kwa hiari, kwahiyo viongozi wa dini wanao walazimisha Raia wa Tanzania kujiunga katika dini wanavunja sheria hivyo wanatakiwa kushtakiwa kwa kuvunja Sheria za nchi.
Mashekhe wa kiislamu wamekuwa wakitumika kuwalazimisha watanzania kuingia katika uislamu kwa kutoa vitisho na kutangaza kwenye misikiti kwa kuwaita watanzania makafiri.
Pia masista wa katoliki,mapadri na wachungaji wamekuwa wakiwalazimisha watanzania kujiunga na dini za kigeni, mambo ambayo sio mazuri kwa ustawi na mustabali wa Taifa.
Katiba imetoa uhuru wa kuabudu ila uhuru wa kuabudu wa dini za kigeni usitumike kunyanyapaa watanzania wasiojihusisha na dini hizo za kigeni kwa kuwaita wachawi.
Kumwita mtanzania mchawi kwasababu amekataa kujiunga na dini za kigeni, unamjengea uadui na jamii yake.
Muhimu zaidi dini hizi za kigeni zinapaswa kufutwa ili watanzania wawe huru. Wakoloni huanza kutanguliza dini na baadae kutawala rasmi kisha kuanza kuiba rasilimali za watanzania.
Hata ukoloni wa mwanzo ulitanguliza dini,Umoja wa ulaya hutumia mabilioni ya Dola za kimarekani kujenga makanisa na kufadhili uendelezaji wa makanisa Nchini Tanzania.
Unatakiwa ujiulize ni nani anaweza kuwekeza Fedha nyingi kiasi hicho bila kupata faida yoyote?
Asilimia 90 ya watanzania wanatumia mila na desturi za makabila na wala sio dini za kigeni, unaowaona wapo kwenye dini wamelazimishwa.
Hiyo asilimia kumi wenye dini za kigeni ni walowezi wa kigeni. yani ni raia wa kigeni walizalia watoto wao Tanzania, hivyo hao watoto wamekuwa wanaishi Tanzania kiotomatiki,walowezi hawa wa kigeni wamejenga Tanzania.
Mfano ni Mohammed Dewj ambaye sura na mwonekano wake ni dhahiri kwamba hana asili ya Tanzania licha ya kuzaliwa Singida Tanzania.Licha ya kwamba Mohammed Dewj hana asili ya Tanzania pia amewahi kuwa Mbunge wa Singida Tanzania.
Katiba ya Tanzania inasema, ili uwe raia wa nchi ya Tanzania kwanza Sharti uwe umezaliwa Tanzania.
Lakini cheti cha kuzaliwa sio kigezo cha kukufanya wewe kuwa raia wa Tanzania.
Walowezi wanachukua asilimia kumi ya hao watu wenye dini zao, suala hili la mkataba wa Bandari limeingia itikadi za kidini. na wamefanya hivyo kwa makusudi kwa sababu wameona rais wa Tanzania ana vaa hijabu(Vazi la KIISLAMU)kwahiyo ni Mwislamu ndio maana wamarekani wameamua kutumia mwamvuli wa Falme za Kiarabu Dubai(UAE) ili kutuibia chanzo chetu cha mapato tunachokitegemea cha Bandari.
Hawa watanzania unao waona sasa wana dini wamelazimishwa kwa namna moja hadi nyingine,dini imeleta ukoloni na unyonyaji wa rasilimali zetu watanzania,
Wazungu walikuja Tanzania na kueneza dini hizo ili kutufanya wajinga na kuiba rasilimali zetu.
Sasa wamekuja tena wanataka kutuibia bandari yetu kwamwamvuli huohuo wa dini,kwa sababu wanajua kuwa Dubai(Falme za Kiarabu)ni waislamu kwahiyo itakuwa rahisi kumshawishi Raisi wa Sasa ambaye anavaa hijabu(Vazi la waislamu) kuwa ataogopa na kubaki kuwapa rasilimali hizo.
Kama wanaona tunafaidi kupitia dini zao ni Bora wachukue dini zao warudi nazo Ulaya na huko Uarabuni sisi tubaki na bandari yetu, maana wameona labda tumefaidi sana kupitia dini hizo.
kwanza itambulike kuwa hakuna faida inayotokana na dini kwani kila mara ni kutoa sadaka, Sasa ikiwa sadaka ni fungu fulani kwenye kitu kizima iweje wanataka kuchukua yote, yani Bandari yetu tunayoitegemea kiuchumi.
DINI HAZINA FAIDA YOYOTE KWA MAISHA YA MTANZANIA
Kwasababu muda mwingi ni kutoa sadaka tu.Pia dini za kigeni zinaleta ukoloni na wizi wa rasilimali, wakoloni huanza kutanguliza dini na baadae kuingia nchini kwa mwamvuli wa dini hizo kisha kuiba rasilimali.
Safari hii dini zimeletwa kwa namna yake, kwani zamani zilikuwa zinaendeshwa na wazungu wenyewe ila Sasa zinaendeshwa na wazawa na wasio wazawa wengi wenye rangi nyeusi, umakini unahitajika ni vigumu kujua. Ukoloni upo hata sasa. Wakristo ni wazungu na waislamu ni waarabu.hata zamani ilianza hivyo na baadae tukashtuka tumeshatawaliwa.
Ni vema kuzifuta dini zote za kigeni Tanzania ili kuiepusha Tanzania na ukoloni wa kisasa.
Kila siku inatakiwa ujue na kukumbuka kuwa kama wewe mtanzania unamwabudu Mungu wa wazungu yani ukristo au yesu kristo basi mali yote iliyopo nchini kwako itachukuliwa na wazungu na hutaweza kumfanya lolote kwa sababu mali hiyo umepewa na Mungu wao, hivyo ni haki yao kuchukua. Ndio maana hata zamani kabla ya ukoloni walianza kuleta dini zao kwanza.
Walivyo hakikisha wote mumemsujudia Mungu wao ndipo walipoanza kutawala Africa, haya ni mambo ya falsafa, hata sasa ndivyo ilivyo kama utamwabudu Mungu wa wazungu yani ukristo na yesu kristo. Basi wazungu wakija kuchukua madini yao, au mali yoyote iliyopo nchini usianze kupiga kelele kwani kelele hizo hazitasaidia kitu. kwani ndivyo wanavyoamini kuwa kama unamwabudu Mungu wao hata mali uliyonayo ni mali yao, hivyo wataichukua.
Pia kama wewe mtanzania unausujudia uarabu yani wewe ni mwislamu basi waarabu wakija kuchukua mali yao uliyopewa na Mungu wao wa kiarabu, usije kuanza kulalamika,watachukua madini ya tanzania na hutaweza kuwafanya lolote kwasababu umepewa na mungu wao hivyo ni haki yao kuchukua.
Muhimu zaidi ni kuzifuta dini zote za kigeni Tanzania, pia kama wamegoma kuondoka mbinu nyingine zitumike, bila hivyo sisi watanzania tutaedelea kuibiwa rasilimali zetu na wazungu au waarabu Kwa mwamvuli wa dini zao.
KNOW THE HISTORY OF TANZANIANS IN RELIGION
90% of mainland Tanzanians do not need religion nor do they want to be involved in it.
90% of Tanzanians use the traditions and customs of the Tanzanian tribes, in asking God and the god from the traditions and customs of the Tanzanian tribes helps them, but you may wonder why everyone identifies themselves with their religion.
Continue reading and you will understand more.....
Tanzanians have been forced to enter foreign religions in one way or another. some also go to churches and mosques to meet people and exchange ideas, including getting help for their fellow Tanzanians, because attending there brings them together and makes them closer and help each other. It is not that they are Christians, Christians or Muslims. Visit all of Tanzania and you will find out. There are also others who do not go to church or mosques at all.
There are also Tanzanians who have been forced to join foreign religions.
especially religious leaders have been used to force Tanzanians to enter foreign religions by threatening and announcing in houses of worship that anyone who does not go to mosques or churches is a witch, something that forces Tanzanians to enter foreign religions.
Islamic sheikhs have been used to force Tanzanians to convert to Islam by threatening and announcing in mosques calling Tanzanians infidels.
Also, Roman Catholic sisters, roman catholic priests and Christians pastors have been forcing Tanzanians to join foreign religions, things that are not good for the well-being and future of the nation. The constitution has given freedom of worship but the freedom of worship of foreign religions should not be used to stigmatize Tanzanians who do not associate with those foreign religions by calling them witches.
Calling a Tanzanian a witch because he or she has refused to join foreign religions, you are creating enmity for him and his community.
Most importantly, these foreign religions should be abolished so that Tanzanians can be free. The colonists began to prioritize religion and later began to steal the resources of Tanzanians.
90% of Tanzanians use tribal traditions and they are not foreign religions, the ones you see in religion are forced.
That ten percent with foreign religions are foreign settlers. that is, they are foreign citizens who gave birth to their children in Tanzania, so those children have automatically become Tanzanian citizens, because the constitution of Tanzania says, in order to become a citizen of the country of Tanzania, you must first be born in Tanzania. so this is what carries ten percent of those people with their own religion,
These Tanzanians you see now have religion, they have been forced in one way to another, religion has brought colonialism and the exploitation of our Tanzanian resources, the Europeans came to Tanzania and spread those religions to make us stupid and steal our resources. They think that the resources we have, we have got from their God of that particular religions,So is their right to take it because we have got from their God. The thing we have to do as we Tanzanians in order to protect our resources,is to stop engaging with foreign religions.
FOREIGN RELIGIONS DOESN'T HAVE ANY BENEFIT FOR TANZANIA'S LIFE
Because most of the time it is just giving alms. Also, foreign religions bring colonization and theft of resources, the colonists start prioritizing religion and later enter the country under the umbrella of those religions and then steal resources.
This time, religions have been introduced in their own way, because in the past they were run by the whites themselves, but now they are run by many natives and non-natives with black color, the attention needed is difficult to know. Colonialism exists even now. Christians are white and Muslims are Arabs. Even in the past it started like that and later we were shocked that we have been ruled.
It is good to erase all foreign religions in Tanzania in order to save Tanzania from modern colonialism.
Every day you should know and remember that if you, a Tanzanian, worship the God of the whites, i.e. Christianity or Jesus Christ, then all the property in your country will be taken by the whites and you will not be able to do anything about it because that property has been given to you by their God, so it is their right to take it. That's why even long ago before colonialism they started to bring their religion first.
As they are, make sure you all bow down to their God when they started ruling Africa, these are philosophical matters, even now it is the same if you worship the God of the whites, that is, Christianity and Jesus Christ. So when the whites come to take their minerals, or any property in the country, don't start shouting because that noise will not help anything. because that's how they believe that if you worship their God, even the property you have is their property, so they will take it.
Also, if you are a Tanzanian who bows down to Arabia, that is, you are a Muslim, then when the Arabs come to take their wealth given to you by their Arab God, don't come and start complaining. They will take Tanzania's minerals and you will not be able to do anything to them because it was given to them by their God, so it is their right to take it.
The most important thing is to wipe out all foreign religions in Tanzania, also if they have refused to leave other methods should be used, otherwise we Tanzanians will continue to have our resources stolen by whites or Arabs under the auspices of their religions.
Maoni
Chapisha Maoni