Mapadri walifukua makaburi Rombo Soma zaidi.......
WASERI WA KILIMANJARO NI WATU HATARI SANA
Wakati wa utawala wa Mwl.Julius Kambarage Nyerere Tanzania, Nyerere akiwa Rais wa Tanzania, warumi walijaribu kuitawala wilaya ya Rombo kupitia Dini ya Katoliki. Nyerere aliwauzia warumi mashamba ya akiba ya serikali yaliyokuwa Rombo kupitia mbunge wa wakati huo.
Warumi walianza na operesheni fukua maiti ambapo takribani miili ya watu wapata mia tano ilifukuliwa katika wilaya ya Rombo na mifupa hiyo kuachwa juu.
Zoezi hili lilifanyika kwa amri ya papa wa Roma Italia.
Maiti walikuwa wanafukuliwa kwa kigezo kuwa hawajabatizwa. Lakini chaajabu hata watu waliobatizwa pia walifukuliwa.
Masalia ya mifupa ya maiti zilizofukuliwa zilipelekwa ulaya na baadhi ya Masalia ya mifupa ya maiti hao iliachwa juu bila kuziwa, hadi leo hii baadhi ya kaya bado mifupa hiyo haijazikwa,watu waliokuwa wanahusika na kufukua maiti ni mapadre wa katoliki.
Mapadri waliohusika kufukua miili huko Kilimanjaro walianza kuumwa ugonjwa usiojulikana, jambo lililopelekea baadhi ya miili kurudishwa kaburini.
Mapadri waliotekeleza jambo hili wote walikufa ikiwemo askofu wa Jimbo la Moshi.Taarifa zilifika kwa Papa wa wakati huo na kuamrisha kusitishwa kwa zoezi hilo, siku chache baadae Papa wa Roma alifariki ghafla. Papa huyu alidumu katika nafasi ya upapa Kwa siku 33 pekee. Aliitwa Papa Yohane Paulo wa I
Mpaka Leo hii warumi wamekuwa wanyenyekevu sana kwa waseri kwani walishikishwa adabu.
Inasemekana wakatoliki hula nyama za maiti za binadamu na pia hufukua maiti ya binadamu iliyozikwa na kuchukua mifupa ya maiti hao, kisha kuchemsha mifupa ya maiti na kunywa supu yake.
Kama upo kwenye dini hii achana nayo na Rudi kwenye Tamaduni zako.
KANISA NI KABURI
Alama ya msalaba imekuwa ikitumika mara nyingi kwenye makanisa na kwenye makaburi
Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kanisa na kaburi kwani hata katika makanisa ya kikristo askofu huzikwa Ndani ya kanisa. Hivyo huu ni uthibitisho kamili kuwa kanisa ni kaburi.
Waumini waliopo kanisani ni maiti kamili. yani tayari umesheka kufa hivyo upo ndani ya kaburi.
Msalaba kwa wakristo ni ishara ya kifo au kaburi ndio maana makaburi ya wakristo huwekwa msalaba.
Kuna Ibada za kanisa katoliki zinaitwa ibada za njia ya kifo maarufu kama ibada za njia ya msalaba, pia katoliki kuna ishara ya kifo.
Maana ya neno msalaba ni kifo.
Unaweza ukaona kuwa ni kawaida sana kuitwa maiti ukiwa upo hai. lakini unatakiwa kujua kwamba muumini ni maiti Ndani ya kaburi.
Hata waislamu pia huwekewa alama ya mwezi nusu na nyota katika makaburi yao ambayo pia alama hiyo huwekwa misikitini hivyo hata msikiti pia ni kaburi na waumini ni maiti.
Kwa upande wa waislamu alama ya mwezi nusu na nyota inawakilisha kaburi au kifo ndio maana huwekwa kaburini.
Hivyo tunaweza kusema Msikiti ni kaburi na waumini ni maiti.
Kufufuka ni kutoka kwenye dini hizo na kurudi kwenye tamaduni, hiyo ndio maana ya kufufuka,toka kaburini.
SERI KILIMANJARO ARE VERY DANGEROUS PEOPLE
During Mwl.Julius Kambarage Nyerere's rule in Tanzania, Nyerere being the PRESIDENT of Tanzania, the Romans tried to rule the Rombo district through Catholicism.Nyerere sold to the Romans the government estate located in Rombo District through a member of parliament at that time.
The Romans started with an operation to exhume the corpses where the bodies of about five hundred people were exhumed in the district of Rombo and the bones were left on top.
This exercise was done by order of the Pope of Rome Italy.
The priests who were involved in exhuming the bodies began to suffer from an unknown disease, which led some of the bodies to be returned to the grave.
The priests who carried out this matter all died, including the bishop of Moshi Province. Information reached the Pope of that time and he ordered the cessation of the exercise, a few days later the Pope of Rome died suddenly. The pope of that time was Pope Yohane Paulo I. Pope of 33 days Only
Until today, the Romans have been very humble to the Waseri because they were kept polite.
![]() |




Maoni
Chapisha Maoni