Tanzania ni koloni la mrumi kupitia dini ya Roman Catholic tupambane tuwe huru Soma zaidi.....
MWINGEREZA ALIMWACHIA TANGANYIKA MRUMI(ITALIA)
Na huenda baba wa Taifa Julius Nyerere alikuwa padri?
Mwalimu Nyerere alisomeshwa na kanisa katoliki.
Kanisa katoliki huwa linasomesha mapadri, na huenda Nyerere alitolewa miongoni mwa mapadri na kusaidiwa kupata uhuru kwani nchi nyingi zilitakiwa kupata uhuru?
Haya ni maswali magumu sana,
Mapadri wana viapo pia wengine sio watanzania kwani kazi za upadri unaweza kupangiwa hata nchi za nje.
Mapadri wanamtumikia mrumi je wanawezaje kuwa raia?
Mapadri wameioa Vatican, hivyo wanaitumikia Kwa namna yoyote Ile.
Padri anaweza kuoa ikiwa itamlazimu kwa maslahi ya warumi na Italia hivyo isikushangaze kwamba mbona Nyerere alikuwa na mke kama alikuwa padri?
Sio Mwalimu Julius Nyerere tu, hata Balozi Dkt.Wilbroad Slaa ni padri na ana mke. kwahiyo isikushangaze Kwa Nyerere?
Mimi mwandishi Sina dini yoyote wala sijataka kujihusisha nazo ila ninapenda kuzichunguza kwa sababu zipo nchini kwetu. dini ya Roman Catholic nimesha ichunguza sana. huwa wanawalisha waumini wao mikate na divai mikate hiyo na divai hizo hutoka huko Italia. Je watu wanaokomunika si wapo hatarini kula sumu?
Vitu vya kulishwa sio vizuri padri anakulisha mkate na kukupa divai huyo padri unamjua? ukifa wewe yeye anahamishwa. Hayati Magufuli alikuwa Kila mara anakula mikate ya katoliki.
Mikate hiyo na divai mnazokunywa wakati mnakomunika kwa maoni yangu sio mizuri hivyo waumini kuweni makini na msiwe mnaila, kuna jirani yangu mmoja alikuwa anaila sana ile mikate na alipooza mwili mzima. wazungu hawatupendi hivyo mikate huwekwa sumu ya kuua taratibu kuweni makini.
Hata virus vya Korona vinaweza kuwekwe kwenye sakramenti za katoliki na watu mnakulakula tu. Unakuja kusikia fulani yupo ICU amepata Korona kumbe imewekwa kwenye mikate na divai na kunyweshwa waumini wa katoliki.
Kama uhuru aliachiwa mrumi, basi hata CCM au TANU ni chama cha Warumi kama ilivyo kwa chadema ambacho ni chama cha Wajerumani?
CCM= ROMAN CATHOLIC=ITALIA=PADRI NYERERE
CHADEMA=LUTHERAN = UJERUMANI=ASKOFU WA KANISA LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA (K. K.K.T)
Umakini unahitajika Mapadri wa katoliki huvaa Kanzu kama waislamu na masista halikadhalika hufunika kichwa chao kwa hijabu za kiislamu.
Inasemekana kuwa mtawala wa Roma wa zamani alioa Mwislamu na ndie aliyeleta ustaarabu wa kuvaa Kanzu na hijabu Kwa viongozi wa kanisa huko Italia.
DINI ZIFUTWE TANZANIA KUEPUSHA UKOLONI WA KIDINI AMBAO NDIO MBAYA ZAIDI NA HATA UKOLONI WA MWANZONI ULITANGULIZA DINI.
Maoni
Chapisha Maoni