UCHAWI WA TANZANIA

 UCHAWI WA AFRIKA HUSUSANI TANZANIA

Uchawi ni hisia juu ya ubaya au uzuri wa jambo.


Uchawi unaweza kuutumia popote unapotaka wewe ilimradi unazingatia masharti yake.


Masharti yake sio magumu.


Ukiwa Mchawi unaweza kuamua juu ya ubaya au uzuri.

Yani kwamfano wazungu wanapenda kuiba Rasilimali zetu. Sasa Kwa kutumia uchawi tunaweza kuwachanganya au kuwaua kabisa.


Kuwachanganya kupo Kwa namna nyingi, tunaweza tukawachanganya akili zao wakawa vichaa kabisa au tukawachanganya wakakosa shauku ya kufanya wanayotaka kufanya juu yetu.


Hata katika vita tunaweza tukawachanganya badala ya kutupiga sisi wakawa wanapigana wao Kwa wao na kuuana.


KURONGWA


Kwanini mtu anarogwa, mtu anarogwa Kwasababu amekataa uchawi Kwa kujua au kutojua. pia anaweza kuwa ameingia kwenye imani nyingine ambayo haiendani na uchawi alionao. 


Kwakifupi ni kwamba Kurogwa ni adhabu kutokana na kutotii jambo fulani. ambalo umelifanya kwa kujua au kutojua.


Mfano umasikini ni Kurogwa, unarogewa umasikini kutokana na sababu nilizotaja hapo juu.


MUHIMU UNATAKIWA UJUE WEWE NI MCHAWI AU NI MSAIDIZI WA MCHAWI AU HAUNA UCHAWI KABISA ILI USIROGWE


Kuwa na uchawi au kutokuwa na uchawi sio kosa kosa ni kukataa kuwa Mchawi wakati umezaliwa Mchawi.


Wale watu ambao hawalogeki wapo katika makundi mawili anaweza kuwa amekubali uchawi au Hana uchawi kabisa. huwezi kumloga Mchawi, pia huwezi kumloga mtu asiye na uchawi.


Kurogwa ni adhabu Kwa mtu aliyekataa uchawi.


MSAIDIZI WA MCHAWI

Kila Mchawi anamsaidizi wake ambaye ni mkubwa kuliko Mchawi kazi yake ni kumwongezea nguvu Mchawi wakati anaroga. Msaidizi wa Mchawi ndiye mtu mkubwa kuliko wachawi wote na wale wasio na uchawi.


WATU WASIO NA UCHAWI


Watu wasio na uchawi kazi yao ni kuondoa ushahidi wa kichawi, Yani Mchawi anaporoga ukienda kumshitaki basi huyu asiye na uchawi anaondoa ule ushahidi haraka sana. Inakuwa kama kujamba ushuzi unaonuka alafu kanakuja kaupepo kanaondoa Ile harufu.



UGANGA

Kama hakuna watu wasio na uchawi basi Mchawi atajifanya Mganga. anaziba nafasi ya watu wasio na uchawi. Kama nilivyosema hapo awali kuwa watu wasio na uchawi huwasaidia wachawi kufuta ushahidi.



UMASIKINI UFUKARA NA KUKOSA MAENDELEO

Watu wanaokataa uchawi na kujiunga kwenye dini,ndio wanakuwa fukara,pia unakuwa huna maendeleo, Kila siku unalogwa logwa tu, magonjwa Kila siku nk.



UCHAWI NI KINGA DHIDI YA MAMBO YOTE USIKATAE UCHAWI.





Imetolewa na: Umoja wa Wachawi Tanzania(UWACHATA)

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Waislamu hupiga kelele msikitini kila baada ya saa kadhaa

HISTORIA YA TANZANIA

TANGANYIKA IKO KWENYE VITA DHIDI YA NCHI TATU(ZANZIBAR, ZAMBIA NA MALAWI)