TUMEZUIA MVUA KUNYESHA KWA MIAKA 120 TANZANIA, TUTAIACHIA MVUA ENDAPO YALE TUNAYOTAKA YATAKAPO TEKELEZWA MOJA NI KUFUTA DINI ZOTE TANZANIA. PIA,TUMEFUNGA SHULE ZOTE TANZANIA. Mengine Soma Makala Nzima. Kuanzia January 2026, HATUTARAJII KUFUNGUA SHULE ZOTE TANZANIA. Kumeonekana hali ya Ukosefu wa usalama kwa wanafunzi, Kutokana na kufanyiwa vitendo mbalimbali ikiwemo vitendo vya Kishirikina wakiwa shuleni na wakati wakiwa njiani kuelekea Nyumbani, inayopelekea wengine kupoteza maisha pia Wanafunzi wa Bweni wamekuwa wakifanyiwa vitendo Vya kushirikina na watu wenye nia mbaya. Imeonekana Elimu ya Tanzania imeingiliwa na dini za ukristo na Uislamu, iliyopelekea matatizo mbalimbali Kwa Wanafunzi. Kwa hali hiyo, tumefunga Shule zote, Mpaka mifumo ya upatikanaji wa Elimu katika Tanzania Bara itakapoendana na Misingi ya Tamaduni za Kiafrika. Tunataka mapitio na Maboresho ya mitaala ya MASHULENI, Elimu itakayotolewa iendane na Tamaduni za Kiafrika, Masomo ya dini yaondolewe ka...
Maoni
Chapisha Maoni