KATAZO LA MILELE: HAKUA KUUZA MADINI YA CHUMA YALIYOPO LIGANGA MKOANI NJOMBE NCHINI TANGANYIKA.

KATAZO LA MILELE: 

Hakuna kuuza madini ya chuma yaliyopo Liganga mkoani Njombe nchini Tanganyika.

 ONYO KALI KWA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, SELEMANI JAFO NA WATU WOTE WANAOITAMANI CHUMA YA LIGANGA YA MKOANI NJOMBE NCHINI TANGANYIKA.


Hiyo chuma ya Liganga mkoani Njombe nchini Tanganyika, isipewe mwekezaji wala isiuzwe, hiyo chuma ibaki hapo hapo Liganga Njombe, na kama itachimbwa, ichimbwe kidogokidogo na wahunzi wa Tanganyika kwaajili ya kutengeneza majembe kwaajili ya wakulima wa Tanganyika, pia majembe hayo yatumike nchini Tanganyika, yasiuzwe nje ya nchi.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Waislamu hupiga kelele msikitini kila baada ya saa kadhaa

HISTORIA YA TANZANIA

TANGANYIKA IKO KWENYE VITA DHIDI YA NCHI TATU(ZANZIBAR, ZAMBIA NA MALAWI)