HAIRUHUSIWI KWA JESHI LOLOTE KUTOA MAFUNZO YA KIJESHI NCHINI TANGANYIKA

 HAIRUHUSIWI KWA JESHI LOLOTE KUTOA MAFUNZO YA KIJESHI NCHINI TANGANYIKA 

Kuna hali ya Taharuki na ukosefu wa Imani na Majeshi yote ya Tanzania, hivyo nimesitisha Shughuli zote za mafunzo ya kijeshi na mazoezi Kwa Majeshi yote ya Tanzania, Katazo hili linakwenda sambamba na kuyafuta Majeshi yote ya Tanzania kufanya Shughuli za ulinzi ndani ya Tanganyika.

Hairuhusiwi Kutolewa mafunzo ya kijeshi kwa Raia yeyote nchini Tanganyika, watakao kiuka maagizo haya adhabu kali itatolewa dhidi yao.

https://mbobezi584.blogspot.com/2025/06/hairuhusiwi-kwa-jeshi-lolote-kutoa.html


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Waislamu hupiga kelele msikitini kila baada ya saa kadhaa

HISTORIA YA TANZANIA

TANGANYIKA IKO KWENYE VITA DHIDI YA NCHI TATU(ZANZIBAR, ZAMBIA NA MALAWI)