MWIGULU NCHEMBA NI MWIZI HAFAI ALIUZA BANDARI WAKATI AKIWA WAZIRI WA FEDHA
MWIGULU NCHEMBA NI MWIZI
Huyu Mwigulu Lameck Nchemba Pichani ni Mwizi , ana miliki Mabasi ya mikoani kama vile Ester Luxury nk.anashirikiana na Mataifa ya Kiarabu ya Omani na Saudi Arabia, kuiba rasilimali za Nchi, Hata ule mkataba wa Bandari na Waarabu wa Saudia yeye ndiye alihusika kuuza Bandari wakati akiwa waziri wa Fedha.
Hafai kabisa lakini Samia kamteua kuwa waziri mkuu.
https://mbobezi584.blogspot.com/2025/11/mwigulu-nchemba-ni-mwizi-hafai-aliuza.html
Maoni
Chapisha Maoni