MWIGULU NCHEMBA HAFI NI JIWE HATA UKIMLISHA SUMU
MWIGULU NCHEMBA HAFI NI JIWE HATA UKIMLISHA SUMU.
Huyu Jamaa Mwigulu Lameck Nchemba Hafi Kabisa ni Jiwe na Wenzake Waarabu wa Omani na Saudia Arabia, na Viongozi wa Kanisa la kilutheri(K.K.K.T) Hawafi, Hata mkiwalisha Sumu Hawafi ni mawe, Kuna yule John Pombe Magufuli nae Alikuwa akiitwa Jiwe.
Mwigulu Lameck Nchemba amekuwa akishirikiana na Mataifa ya Kiarabu ya Omani na Saudia Arabia,kuleta Ukoloni Tanganyika.
Nilisema Kwamba Mwigulu Lameck Nchemba, Viongozi wa Kanisa la kilutheri na Waarabu wa Omani na Saudia Arabia wamekuwa wakileta Ukoloni na Matatizo mbalimbali nchini, ikiwemo wizi wa Rasilimali za nchi,lakini bado, MASWALA yangu hayakushughulikiwa.
https://mbobezi584.blogspot.com/2025/12/mwigulu-nchemba-hafi-ni-jiwe-hata.html
Maoni
Chapisha Maoni