UCHAWI WA TANZANIA
UCHAWI WA AFRIKA HUSUSANI TANZANIA Uchawi ni hisia juu ya ubaya au uzuri wa jambo. Uchawi unaweza kuutumia popote unapotaka wewe ilimradi unazingatia masharti yake. Masharti yake sio magumu. Ukiwa Mchawi unaweza kuamua juu ya ubaya au uzuri. Yani kwamfano wazungu wanapenda kuiba Rasilimali zetu. Sasa Kwa kutumia uchawi tunaweza kuwachanganya au kuwaua kabisa. Kuwachanganya kupo Kwa namna nyingi, tunaweza tukawachanganya akili zao wakawa vichaa kabisa au tukawachanganya wakakosa shauku ya kufanya wanayotaka kufanya juu yetu. Hata katika vita tunaweza tukawachanganya badala ya kutupiga sisi wakawa wanapigana wao Kwa wao na kuuana. KURONGWA Kwanini mtu anarogwa, mtu anarogwa Kwasababu amekataa uchawi Kwa kujua au kutojua. pia anaweza kuwa ameingia kwenye imani nyingine ambayo haiendani na uchawi alionao. Kwakifupi ni kwamba Kurogwa ni adhabu kutokana na kutotii jambo fulani. ambalo umelifanya kwa kujua au kutojua. Mfano umasikini ni Kurogwa, unarogewa umasikini kutokana na saba...