USICHO KIJUA KUHUSU WATANZANIA WENYEJI Wenyeji asilia wa Tanzania sio watu wa dini wala watu wa kuhudhuria kwenye Nyumba za ibada, kama misikitini na makanisani tofauti sana na wageni,wenyeji asilia ni watu wa Matambiko tangu zamani,hii inawatofautisha na Wageni ambao ni watu walioshika dini sana na wanaohudhuria kanisani. Makundi mbalimbali ya wageni yalihamia Kilimanjaro kuja kueneza dini za kikristo na Uislamu enzi za ukoloni hadi sasa. pia wageni walitumika kuimarisha utawala wa wakoloni,kwa vitisho usaliti na propaganda mbalimbali. UTAJUAJE KUWA MTU NI MGENI AU MVAMIZI NDANI YA TANZANIA Ili kubaini kuwa mtu ni mgeni tazama mwenendo wake katika maswala ya dini za kigeni, kama ni mtu aliyeshika dini basi tambua kuwa mtu huyo ni mgeni. UTAJUAJE KUWA MTU NI MZAWA ASILIA WA TANZANIA Wazawa asilia wa Tanzania sio wahudhuriaji wa makanisani wala sio waeneza dini, pia hawajashika dini yoyote, ni watu wa Matambiko ya mizimu tangu zamani.hii itakusaidia kumtofautisha na wageni wavamizi...